Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Hilo Allaah amewaamrisha watu wote na amewaumba kwa lengo hilo. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
“Sikuumba majini na watu isipokuwa waniabudu.” (adh-Dhaariyaat 51 : 56)
MAELEZO
Hilo… – Bi maana kwa Hanafiyyah ambayo maana yake ni kumwabudu Allaah hali ya kumtakasia Yeye dini. Allaah amewaamrisha watu wote na akawaumba kwa lengo hilo. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَمَا أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ مِن رَّسُولٍ إِلَّا نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدُونِ
“Hatukutuma kabla yako Mtume yeyote isipokuwa Tulimfunulia Wahy ya kwamba: “Hakika hapana mungu wa haki isipokuwa Mimi – hivyo basi Niabuduni.” (al-Anbiyaa´ 21 : 25)
Allaah (´Azza wa Jall) amebainisha katika Kitabu Chake kwamba viumbe wameumbwa kwa lengo hili tu. Amesema (Ta´ala):
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
“Sikuumba majini na watu isipokuwa waniabudu.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 38-39
- Imechapishwa: 19/05/2020
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Hilo Allaah amewaamrisha watu wote na amewaumba kwa lengo hilo. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
“Sikuumba majini na watu isipokuwa waniabudu.” (adh-Dhaariyaat 51 : 56)
MAELEZO
Hilo… – Bi maana kwa Hanafiyyah ambayo maana yake ni kumwabudu Allaah hali ya kumtakasia Yeye dini. Allaah amewaamrisha watu wote na akawaumba kwa lengo hilo. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَمَا أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ مِن رَّسُولٍ إِلَّا نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدُونِ
“Hatukutuma kabla yako Mtume yeyote isipokuwa Tulimfunulia Wahy ya kwamba: “Hakika hapana mungu wa haki isipokuwa Mimi – hivyo basi Niabuduni.” (al-Anbiyaa´ 21 : 25)
Allaah (´Azza wa Jall) amebainisha katika Kitabu Chake kwamba viumbe wameumbwa kwa lengo hili tu. Amesema (Ta´ala):
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
“Sikuumba majini na watu isipokuwa waniabudu.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 38-39
Imechapishwa: 19/05/2020
https://firqatunnajia.com/18-lengo-la-kuumbwa/