16- Imesihi kutoka kwa Abu Ishaaq as-Sabiy´iy kwamba Mughiyth bin Sumayy amesema:
“Nimefikiwa na khabari kwamba Allaah hakuumba kwa mkono Wake isipokuwa vitu vitatu: Ameipanda Pepo kwa mkono Wake, amemuumba Aadam kwa mkono Wake na ameiandika Tawraat kwa mkono Wake.”
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 21
- Imechapishwa: 20/06/2019
16- Imesihi kutoka kwa Abu Ishaaq as-Sabiy´iy kwamba Mughiyth bin Sumayy amesema:
“Nimefikiwa na khabari kwamba Allaah hakuumba kwa mkono Wake isipokuwa vitu vitatu: Ameipanda Pepo kwa mkono Wake, amemuumba Aadam kwa mkono Wake na ameiandika Tawraat kwa mkono Wake.”
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 21
Imechapishwa: 20/06/2019
https://firqatunnajia.com/17-maneno-ya-mughiyth-bin-sumayy-kuhusu-mikono-ya-allaah/