Swali 160: Sisi kazini kwetu anapofariki mfanyakazi mwenzetu basi kunasambazwa karatasi inayoonyesha ni wapi ataswaliwa au mahali pa tanzia. Ni ipi hukumu[1]?
Jibu: Sitambui ubaya wowote wa kufanya hivo. Ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya juu ya an-Najaashiy. Hakuna ubaya wa kusema kuwa watamswalia katika msikiti fulani.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/410).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 117
- Imechapishwa: 22/01/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)