Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ndio wako kati kwa kati. Wamemthibitishia mja kuwa na uwezo, utashi na matakwa. Lakini hata hivyo yote haya yanakuja baada ya matakwa, uwezo na utashi wa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Vivyo hivyo wanaonelea kuwa hakuna yeyote ambaye anaweza kufanya kitu isipokuwa baada ya Allaah kutaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mujmal ´Aqiydat-is-Salaf as-Swaalih, uk. 15
- Imechapishwa: 24/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)