Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ndio wako kati kwa kati. Wamemthibitishia mja kuwa na uwezo, utashi na matakwa. Lakini hata hivyo yote haya yanakuja baada ya matakwa, uwezo na utashi wa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Vivyo hivyo wanaonelea kuwa hakuna yeyote ambaye anaweza kufanya kitu isipokuwa baada ya Allaah kutaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mujmal ´Aqiydat-is-Salaf as-Swaalih, uk. 15
- Imechapishwa: 24/05/2022
Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ndio wako kati kwa kati. Wamemthibitishia mja kuwa na uwezo, utashi na matakwa. Lakini hata hivyo yote haya yanakuja baada ya matakwa, uwezo na utashi wa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Vivyo hivyo wanaonelea kuwa hakuna yeyote ambaye anaweza kufanya kitu isipokuwa baada ya Allaah kutaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mujmal ´Aqiydat-is-Salaf as-Swaalih, uk. 15
Imechapishwa: 24/05/2022
https://firqatunnajia.com/16-ahl-us-sunnah-ndio-wako-kati-kwa-kati-katika-qadar/