15- Abul-Fadhwl Ja´far bin Muhammad bin Ya´quub as-Sandaliy ametuhadithia: al-Hasan bin Muhammad as-Sabaah az-Za´faraaniy ametuhadithia: Shabaabah bin Sawwaar ametuhadithia: Warqaa´ ametuhadithia, kutoka kwa Abuz-Zinaad, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkono wa kuume wa Allaah (´Azza wa Jall) umejaa. Haupungui kwa kutoa mchana na usiku. Mnaonaje yale aliyotoa tangu aumbe mbingu na ardhi pasi na kupungua chochote kilichoko katika mkono Wake wa kuume? ´Arshi Yake iko juu ya maji na kwenye mkono Wake mwingine kuna mzani ambao ndiyo anashusha na kupandisha.”[1]
[1] al-Bukhaariy (4684), Muslim (993), Ahmad (2/242) na at-Tirmidhiy (3045) aliyesema:
“Hadiyth hii ni nzuri na Swahiyh na ndio inayofasiri Aayah:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّـهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ
“Mayahudi wakasema: “Mkono wa Allaah imefumbwa”. Mikono yao ndio iliyofumbwa na wamelaaniwa kwa yale waliyoyasema. Bali mikono Yake imekunjuliwa hutoa atakavyo.” (05:64)
Hadiyth imepokelewa na maimamu. Tunaiamini kama ilivyonakiliwa bila ya maana wala kuifanyia namna. Hivyo ndivyo walivyosema maimamu wengi akiwemo Sufyaan ath-Thawriy, Maalik bin Anas, Ibn ´Uyaynah, Ibn ´Uyaynah na Ibn-ul-Mubaarak; zinatakiwa kusimuliwa na kuaminiwa bila kuzifanyia namna.”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 49-50
- Imechapishwa: 05/11/2017
15- Abul-Fadhwl Ja´far bin Muhammad bin Ya´quub as-Sandaliy ametuhadithia: al-Hasan bin Muhammad as-Sabaah az-Za´faraaniy ametuhadithia: Shabaabah bin Sawwaar ametuhadithia: Warqaa´ ametuhadithia, kutoka kwa Abuz-Zinaad, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkono wa kuume wa Allaah (´Azza wa Jall) umejaa. Haupungui kwa kutoa mchana na usiku. Mnaonaje yale aliyotoa tangu aumbe mbingu na ardhi pasi na kupungua chochote kilichoko katika mkono Wake wa kuume? ´Arshi Yake iko juu ya maji na kwenye mkono Wake mwingine kuna mzani ambao ndiyo anashusha na kupandisha.”[1]
[1] al-Bukhaariy (4684), Muslim (993), Ahmad (2/242) na at-Tirmidhiy (3045) aliyesema:
“Hadiyth hii ni nzuri na Swahiyh na ndio inayofasiri Aayah:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّـهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ
“Mayahudi wakasema: “Mkono wa Allaah imefumbwa”. Mikono yao ndio iliyofumbwa na wamelaaniwa kwa yale waliyoyasema. Bali mikono Yake imekunjuliwa hutoa atakavyo.” (05:64)
Hadiyth imepokelewa na maimamu. Tunaiamini kama ilivyonakiliwa bila ya maana wala kuifanyia namna. Hivyo ndivyo walivyosema maimamu wengi akiwemo Sufyaan ath-Thawriy, Maalik bin Anas, Ibn ´Uyaynah, Ibn ´Uyaynah na Ibn-ul-Mubaarak; zinatakiwa kusimuliwa na kuaminiwa bila kuzifanyia namna.”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 49-50
Imechapishwa: 05/11/2017
https://firqatunnajia.com/15-dalili-juu-ya-mkono-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket