Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ummah huu umefaradhishiwa kufanya Hijrah kutoka katika mji wa kikafiri na kwenda katika mji wa Kiislamu na itaendelea kubaki mpaka Qiyaamah kitaposimama.
MAELEZO
Kuhama kumeambatanishwa na kufanya jihaad katika njia ya Allaah. Isitoshe ni faradhi iliobaki na ambayo haikufutwa. Ni lazima kwa kila muislamu anayehitaji kuhajiri afanye hivo. Haijuzu kwa muislamu kuishi katika mji wa kikafiri ilihali hawezi kuidhihirisha dini yake. Katika hali hiyo itakuwa ni lazima kuhama kwenda katika mji wa waislamu. Kwa hiyo ni faradhi yenye kubaki. Hayo ni kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hijrah haitosimama mpaka Tawbah isimamishwe. Na Tawbah haitosimamishwa mpaka jua lichomoze kutoka magharibi.”[1]
[1] Abu Daawuud (3479), Ahmad (28/111) (16906).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 266-267
- Imechapishwa: 10/02/2021
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ummah huu umefaradhishiwa kufanya Hijrah kutoka katika mji wa kikafiri na kwenda katika mji wa Kiislamu na itaendelea kubaki mpaka Qiyaamah kitaposimama.
MAELEZO
Kuhama kumeambatanishwa na kufanya jihaad katika njia ya Allaah. Isitoshe ni faradhi iliobaki na ambayo haikufutwa. Ni lazima kwa kila muislamu anayehitaji kuhajiri afanye hivo. Haijuzu kwa muislamu kuishi katika mji wa kikafiri ilihali hawezi kuidhihirisha dini yake. Katika hali hiyo itakuwa ni lazima kuhama kwenda katika mji wa waislamu. Kwa hiyo ni faradhi yenye kubaki. Hayo ni kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hijrah haitosimama mpaka Tawbah isimamishwe. Na Tawbah haitosimamishwa mpaka jua lichomoze kutoka magharibi.”[1]
[1] Abu Daawuud (3479), Ahmad (28/111) (16906).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 266-267
Imechapishwa: 10/02/2021
https://firqatunnajia.com/132-hijrah-itaendelea-mpaka-kusimame-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)