Swali 130: Baadhi ya vyuo vya matibabu vinanunua mwili wa maiti kutoka kusini mashariki mwa Asia kwa dhuluni la mafunzo ya kimatibabu. Ni ipi hukumu[1]?
Jibu: Hakuna vibaya ikiwa mwili wa maiti ni katika makafiri ambao hawakudhaminiwa usalama. Ama wengine haijuzu kuwakiuka.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/365).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 95
- Imechapishwa: 15/01/2022
Swali 130: Baadhi ya vyuo vya matibabu vinanunua mwili wa maiti kutoka kusini mashariki mwa Asia kwa dhuluni la mafunzo ya kimatibabu. Ni ipi hukumu[1]?
Jibu: Hakuna vibaya ikiwa mwili wa maiti ni katika makafiri ambao hawakudhaminiwa usalama. Ama wengine haijuzu kuwakiuka.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/365).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 95
Imechapishwa: 15/01/2022
https://firqatunnajia.com/130-kujifunza-matibabu-kupitia-kiwiliwili-cha-maiti/