Swali 123: Ni ipi hukumu ya du´aa ya pamoja karibu na kaburi[1]?
Jibu: Hakuna kipingamizi akiomba du´aa mmoja na wakaitikia “Aamiyn” wasikilizaji. Hapana vibaya ikiwa hilo halikupangwa. Imetokea wamesikia baadhi wakiomba du´aa na wengine wakaitikia “Aamiyn”. Hakuitwi kuwa ni du´aa ya pamoja kwa sababu ni kitu ambacho hakikupangwa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/340).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 89
- Imechapishwa: 15/01/2022
Swali 123: Ni ipi hukumu ya du´aa ya pamoja karibu na kaburi[1]?
Jibu: Hakuna kipingamizi akiomba du´aa mmoja na wakaitikia “Aamiyn” wasikilizaji. Hapana vibaya ikiwa hilo halikupangwa. Imetokea wamesikia baadhi wakiomba du´aa na wengine wakaitikia “Aamiyn”. Hakuitwi kuwa ni du´aa ya pamoja kwa sababu ni kitu ambacho hakikupangwa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/340).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 89
Imechapishwa: 15/01/2022
https://firqatunnajia.com/123-ni-ipi-hukumu-ya-duaa-ya-pamoja-karibu-na-kaburi/