Swali 114: Je, inatosha kuwatolea salamu wafu mara moja pale mwanzoni mwa makaburi[1]?
Jibu: Inatosha kufanya hivo na kunapatikana kitendo cha kuwatembelea. Maeneo ya makaburi yakiwa makubwa na akayatembelea pande zake zote ni sawa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
- Imechapishwa: 12/01/2022
Swali 114: Je, inatosha kuwatolea salamu wafu mara moja pale mwanzoni mwa makaburi[1]?
Jibu: Inatosha kufanya hivo na kunapatikana kitendo cha kuwatembelea. Maeneo ya makaburi yakiwa makubwa na akayatembelea pande zake zote ni sawa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
Imechapishwa: 12/01/2022
https://firqatunnajia.com/114-je-inatosha-kuwatolea-salamu-wafu-mara-moja-pale-mwanzoni-mwa-makaburi/