Swali 112: Ni vipi itafasiriwa Hadiyth ya mafunzo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumfunza ´Aaishah du´aa ya kuyatembelea makaburi[1]?
Jibu: Kuyatembelea makaburi mwanzoni ilikuwa imekatazwa kwa watu wote. Baadaye wakaruhusiwa watu wote. Kisha baadaye ikawa makatazo ni maalum kwa wanawake tu. Kujengea juu ya haya mafunzo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumfunza ´Aiashah adabu ya matembezi yalitokea katika kipindi ambapo matembezi ki-Shari´ahh yanakubalika kwa wote.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/331).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 84
- Imechapishwa: 09/01/2022
Swali 112: Ni vipi itafasiriwa Hadiyth ya mafunzo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumfunza ´Aaishah du´aa ya kuyatembelea makaburi[1]?
Jibu: Kuyatembelea makaburi mwanzoni ilikuwa imekatazwa kwa watu wote. Baadaye wakaruhusiwa watu wote. Kisha baadaye ikawa makatazo ni maalum kwa wanawake tu. Kujengea juu ya haya mafunzo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumfunza ´Aiashah adabu ya matembezi yalitokea katika kipindi ambapo matembezi ki-Shari´ahh yanakubalika kwa wote.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/331).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 84
Imechapishwa: 09/01/2022
https://firqatunnajia.com/112-hivi-ndivo-inafahamika-hadiyth-ya-aaishah/