988- ´Amr bin ´Abash (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayefunga siku moja katika njia ya Allaah, basi Moto utawekwa mbali naye umbali wa miaka mia moja.”
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr” na “al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/581)
- Imechapishwa: 30/05/2018
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
988- ´Amr bin ´Abash (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayefunga siku moja katika njia ya Allaah, basi Moto utawekwa mbali naye umbali wa miaka mia moja.”
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr” na “al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/581)
Imechapishwa: 30/05/2018
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/11-hadiyth-atakayefunga-siku-moja-katika-njia-ya-allaah/