Swali 108: Je, inafaa kumswalia maiti zile faradhi ambazo hakuziswali[1]?
Jibu: Haijuzu kumswalia maiti. Isitoshe halina msingi. Hayo yamepokelewa kuhusu funga, hajj, kulipa deni, kumtolea swadaqah na kumwombea du´aa. Kuhusu kumswalia ni jambo halina msingi wowote.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/280-281).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 78
- Imechapishwa: 09/01/2022
Swali 108: Je, inafaa kumswalia maiti zile faradhi ambazo hakuziswali[1]?
Jibu: Haijuzu kumswalia maiti. Isitoshe halina msingi. Hayo yamepokelewa kuhusu funga, hajj, kulipa deni, kumtolea swadaqah na kumwombea du´aa. Kuhusu kumswalia ni jambo halina msingi wowote.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/280-281).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 78
Imechapishwa: 09/01/2022
https://firqatunnajia.com/108-kumlipia-maiti-swalah-zilizompita/