4 – Kusherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kitu kilichozua mfalme mwadilifu na msomi ambaye lengo lake lilikuwa ni kujikurubisha kwa Allaah. Tunajibu hilo kwa kusema kwamba Bid´ah haikubaliwi kutoka kwa mtu yoyote. Malengo mazuri hayafanyi kitendo kiovu kuwa kizuri. Kuwa kwake msomi na mwadilifu haina maana kuwa amekingwa na kukosea.

  • Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Huquwq-un-Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) bayn al-Ijlaal wal-Ikhlaal, uk. 153
  • Imechapishwa: 06/09/2025