46- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Pindi mtu anapoingia nyumbani na akamtaja Allaah (Ta´ala) wakati anapoingia na wakati wa kula Shaytwaan husema: “Hamna pa kulala wala chakula.” Akiingia pasina kumtaja Allaah (Ta´ala) Shaytwaan husema: “Mmepata pa kulala.” Na ikiwa hakumtaja Allaah (Ta´ala) wakati wa kula husema: “Mmepata pa kulala na chakula.”
47- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ewe mwanangu! Unapoingia (nyumbani) kwa ahli zako toa Salaam. Inakuwa ni baraka kwako na kwa familia yako.”
- Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 45-46
- Imechapishwa: 21/03/2017
46- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Pindi mtu anapoingia nyumbani na akamtaja Allaah (Ta´ala) wakati anapoingia na wakati wa kula Shaytwaan husema: “Hamna pa kulala wala chakula.” Akiingia pasina kumtaja Allaah (Ta´ala) Shaytwaan husema: “Mmepata pa kulala.” Na ikiwa hakumtaja Allaah (Ta´ala) wakati wa kula husema: “Mmepata pa kulala na chakula.”
47- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ewe mwanangu! Unapoingia (nyumbani) kwa ahli zako toa Salaam. Inakuwa ni baraka kwako na kwa familia yako.”
Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 45-46
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/10-duaa-ya-kuingia-nyumbani-na-wakati-wa-kula/