Swali: Wanachuoni (Rahimahumu Allaah) wamesema kuwa imesuniwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia na kuna wanaosema kuwa hili linahusiana na yale maradhi ya khatari na si yale maradhi mepesi. Ni yapi maoni yako?
Jibu: Naonelea kuwa inatakiwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia. Tawbah na kuusia ni mambo yamewekwa katika Shari´ah wakati wowote ule. Lakini mtu afanye hivo kwa njia isiyomshtua mgonjwa1.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/71)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Wanachuoni (Rahimahumu Allaah) wamesema kuwa imesuniwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia na kuna wanaosema kuwa hili linahusiana na yale maradhi ya khatari na si yale maradhi mepesi. Ni yapi maoni yako?
Jibu: Naonelea kuwa inatakiwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia. Tawbah na kuusia ni mambo yamewekwa katika Shari´ah wakati wowote ule. Lakini mtu afanye hivo kwa njia isiyomshtua mgonjwa1.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/71)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/1-imesuniwa-kumkumbusha-mgonjwa-kuacha-anausia-na-kutubia/