183 – Amesimulia tena:
“Aliletewa maji ya kutawadha kipindi ambapo alikuwa ameketi chini. Akatawadha na akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: “Nilimwona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitawadha hali ya kuwa ameketi mkao huu. Akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: ”Yule ambaye atatawadha mfano wa wudhuu´ wangu huu, kisha akaenda msikitini na akaswali Rak´ah mbili halafu akaketi chini, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na wengine.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/190)
- Imechapishwa: 14/04/2021
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
183 – Amesimulia tena:
“Aliletewa maji ya kutawadha kipindi ambapo alikuwa ameketi chini. Akatawadha na akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: “Nilimwona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitawadha hali ya kuwa ameketi mkao huu. Akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: ”Yule ambaye atatawadha mfano wa wudhuu´ wangu huu, kisha akaenda msikitini na akaswali Rak´ah mbili halafu akaketi chini, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na wengine.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/190)
Imechapishwa: 14/04/2021
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-yule-ambaye-atatawadha-mfano-wa-wudhuu-wangu-huu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket