74- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Dunia ni yenye kulaaniwa[1]. Kila kilichomo ndani yake ni chenye kulaaniwa isipokuwa kumdhukuru Allaah, yote Anayoyapenda, mwanachuoni na yule mwenye kujifunza.”[2]
Ameipokea at-Tirmidhiy, Ibn Maajah na al-Bayhaqiy. at-Tirmidhiy amesema:
“Hadiyth ni nzuri.”
[1] Makusudio ni kila kile chenye kumshughulisha na kumuweka mtu mbali na Allaah (Ta´ala). Kusema kwamba ni yenye kulaaniwa bi maana ni yenye kutengwa mbali na uangalizi Wake.
[2] Nzuri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/141)
- Imechapishwa: 15/09/2018
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket