Abu Daawuud (1/247-248) amesema: Muslim bin Ibraahiym ametuhadithia: ´Aliy bin al-Mubaarak ametuhadithia, kutoka kwa Husayn al-Mu´allim, kutoka kwa ´Amr bin Shu´ayb, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza:
”Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiswali akiwa na viatu na akiwa peku.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah (1/330), Ahmad (2/174, 178, 179, 190 na 215), Ibn Abiy Shaybah (2/415), Ibn Sa´d (2/168 – mswada), at-Twahaawiy (1/512) na al-Bayhaqiy (1/421). Hadiyth ni nzuri[2].
[1] Nzuri na Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (653).
[2] Ikiwa cheni ya wapokezi imesihi hadi kwa ´Amr bin Shu´ayb, kama ilivyo katika hali hii, basi Hadiyth hiyo ni nzuri.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: as-Swalaah fiyn-Ni´aal, uk. 10
- Imechapishwa: 28/05/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
20. Hadiyth ”Mmoja wenu akiswali na kuvua viatu vyake… ”
Abu Daawuud (1/248) amesema: ´Abdul-Wahhaab bin Najdah ametuhadithia: Baqiyyah na Shu´ayb bin Ishaaq ametuhadithia, kutoka kwa al-Awzaa´iy: Muhammad bin al-Waliyd amenihadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema: ”Mmoja wenu akiswali…
In "as-Swalaah fiyn-Ni´aal"
20. Hadiyth ”Mmoja wenu akiswali na kuvua viatu vyake… ”
Abu Daawuud (1/248) amesema: ´Abdul-Wahhaab bin Najdah ametuhadithia: Baqiyyah na Shu´ayb bin Ishaaq ametuhadithia, kutoka kwa al-Awzaa´iy: Muhammad bin al-Waliyd amenihadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema: ”Mmoja wenu akiswali…
In "as-Swalaah fiyn-Ni´aal"
08. Hadiyth ”Nilimuona Mtume wa Allaah akiswali akiwa na viatu… ”
Ahmad (4/307) amesema: Sufyaan ametuhadithia, kutoka kwa as-Suddiy, kutoka kwa bwana mmoja aliyemsikia ´Amr bin Hurayth akisema: ”Nilimuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiswali akiwa na viatu vilivyotengenezwa kwa ngozi.”[1] Imekuja katika tamko jengine: ”Nilimuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiswali akiwa na viatu…
In "as-Swalaah fiyn-Ni´aal"