116- Abu Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Bwana mmoja alimjia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akimuomba ambapo akajibu: “Sina mimi cha kukupa. Lakini mwendee fulani.” Bwana yule akamwendea na akapewa. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Yeyote atakayeelekeza kheri basi ana mfano wa ujira wa yule mwenye kuifanya au mwenye kuitenda.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake. al-Bazzaar ameipokea kwa mukhtasari:
“Yeyote atakayeelekeza kheri basi ni kama mwenye kuitenda.”
117- Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr” na “al-Awsatw” kupitia kwa Sahl bin Sa´d[2].
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/158)
- Imechapishwa: 03/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)