149- Jaabir bin ´Abdillaah ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Tahadharini kupiga kambi katika njia… [1], kwa sababu huko ndio kimbilio la majoka na wanyama wakali, na kukidhi haja juu yake, kwa sababu kunasababaisha kulaaniwa.”[2]
Ameipokea Ibn Maajah na wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Katika ile ya asili imekuja: ”… na kuswali juu yake… ”Nimeifuta kwa sababu sentesi hiyo amepwekeka nayo mpokezi ambaye ni dhaifu. Tazam “as-Swahiyhah” (2433).
[2] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/172)
- Imechapishwa: 10/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
149- Jaabir bin ´Abdillaah ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Tahadharini kupiga kambi katika njia… [1], kwa sababu huko ndio kimbilio la majoka na wanyama wakali, na kukidhi haja juu yake, kwa sababu kunasababaisha kulaaniwa.”[2]
Ameipokea Ibn Maajah na wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Katika ile ya asili imekuja: ”… na kuswali juu yake… ”Nimeifuta kwa sababu sentesi hiyo amepwekeka nayo mpokezi ambaye ni dhaifu. Tazam “as-Swahiyhah” (2433).
[2] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/172)
Imechapishwa: 10/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-tahadharini-kupiga-kambi-katika-njia/