2 – Akili. Si wajibu kwa mwendawazimu kufunga kwa sababu ya kuondokewa na akili yake. Kwa hivyo halazimishwi kufunga na wala haisihi kutoka kwake.

  • Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Taysiyr Dhil-In´am bisharh ´Umdat-il-Ahkaam (01/433)
  • Imechapishwa: 13/02/2025