148- Hudhayfah bin Usayd ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuwaudhi waislamu katika njia zao basi imemuwajibikia laana.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Nzuri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/172)
- Imechapishwa: 10/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
148- Hudhayfah bin Usayd ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuwaudhi waislamu katika njia zao basi imemuwajibikia laana.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Nzuri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/172)
Imechapishwa: 10/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-yule-mwenye-kuwaudhi-waislamu-katika-njia-zao/