727- Abul-Ja´d adh-Dhwamriy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuacha ijumaa tatu kwa ajili ya hali ya kutozijali[1], basi Allaah atapiga muhuri katika moyo wake.”[2]
Ameipokea Ahmad, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy, at-Tirmidhiy ambaye amesema ni nzuri, Ibn Maajah, Ibn Khuzaymah katika ”as-Swahiyh”, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim aliyesema:
“Ni Swahiyh juu ya sharti za Muslim.”
Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah na al-Haakim imekuja:
“Yule mwenye kuacha ijumaa tatu pasi na udhuru ni mnafiki.”[3]
Abul-Ja´d jina lake ni Adra´. Kuna maoni mengine yanayosema anaitwa Junaadah. al-Karaabiysiy amesema kuwa jina lake ni ´Umar bin Abiy Bakr. at-Tirmidhiy amesema:
“Nilimuuliza Muhammad (al-Bukhaariy) kuhusu jina la Abul-Ja´d lakini alikuwa hajui.”
[1] Kutokana na uchache wa kuzitilia umuhimu, sio kwa sababu anazidharau. Kwa sababu kuzidharau faradhi za Allaah (Ta´ala) ni ukafiri na kuritadi. Ni kufuru ya kimoyo.
[2] Nzuri.
[3] Nzuri na Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/450-451)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswiyr-ud-Diyn al-Albaaniy
727- Abul-Ja´d adh-Dhwamriy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuacha ijumaa tatu kwa ajili ya hali ya kutozijali[1], basi Allaah atapiga muhuri katika moyo wake.”[2]
Ameipokea Ahmad, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy, at-Tirmidhiy ambaye amesema ni nzuri, Ibn Maajah, Ibn Khuzaymah katika ”as-Swahiyh”, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim aliyesema:
“Ni Swahiyh juu ya sharti za Muslim.”
Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah na al-Haakim imekuja:
“Yule mwenye kuacha ijumaa tatu pasi na udhuru ni mnafiki.”[3]
Abul-Ja´d jina lake ni Adra´. Kuna maoni mengine yanayosema anaitwa Junaadah. al-Karaabiysiy amesema kuwa jina lake ni ´Umar bin Abiy Bakr. at-Tirmidhiy amesema:
“Nilimuuliza Muhammad (al-Bukhaariy) kuhusu jina la Abul-Ja´d lakini alikuwa hajui.”
[1] Kutokana na uchache wa kuzitilia umuhimu, sio kwa sababu anazidharau. Kwa sababu kuzidharau faradhi za Allaah (Ta´ala) ni ukafiri na kuritadi. Ni kufuru ya kimoyo.
[2] Nzuri.
[3] Nzuri na Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/450-451)
Imechapishwa: 26/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswiyr-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-yule-mwenye-kuacha-ijumaa-tatu-kwa-ajili-ya-hali-ya-kutozijali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket