3- Katika upokezi wa ´Ikrimah imekuja:
”Mikono yote ya Allaah ni ya kuume. Atazikunja mbingu, atazishika kwa mkono Wake na kusema: ”Mimi ndiye Mfalme!” Kisha atazishika ardhi kwa mkono Wake mwingine.”
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 16
- Imechapishwa: 11/12/2018
3- Katika upokezi wa ´Ikrimah imekuja:
”Mikono yote ya Allaah ni ya kuume. Atazikunja mbingu, atazishika kwa mkono Wake na kusema: ”Mimi ndiye Mfalme!” Kisha atazishika ardhi kwa mkono Wake mwingine.”
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 16
Imechapishwa: 11/12/2018
https://firqatunnajia.com/04-dalili-ya-tatu-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/