2- Mapendekezo yake
I´tikaaf ni ´ibaadah ambayo mja anakaa chemba na Muumba Wake na anakata mahusiano na wengine. Imependekezwa kwa mfanya I´tikaaf ajipe faragha ya kufanya ´ibaadah; akithirishe swalah, Dhikr, kuomba du´aa, usomaji Qur-aan, kutubia, kuomba msamaha na nyenginezo zitazomkurubisha kwa Allaah (Ta´ala).
- Muhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 169
- Imechapishwa: 04/05/2021
2- Mapendekezo yake
I´tikaaf ni ´ibaadah ambayo mja anakaa chemba na Muumba Wake na anakata mahusiano na wengine. Imependekezwa kwa mfanya I´tikaaf ajipe faragha ya kufanya ´ibaadah; akithirishe swalah, Dhikr, kuomba du´aa, usomaji Qur-aan, kutubia, kuomba msamaha na nyenginezo zitazomkurubisha kwa Allaah (Ta´ala).
Muhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 169
Imechapishwa: 04/05/2021
https://firqatunnajia.com/03-yaliyopendekezwa-kwa-mfanya-itikaaf/