2- Mapendekezo yake
I´tikaaf ni ´ibaadah ambayo mja anakaa chemba na Muumba Wake na anakata mahusiano na wengine. Imependekezwa kwa mfanya I´tikaaf ajipe faragha ya kufanya ´ibaadah; akithirishe swalah, Dhikr, kuomba du´aa, usomaji Qur-aan, kutubia, kuomba msamaha na nyenginezo zitazomkurubisha kwa Allaah (Ta´ala).
- Muhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 169
- Imechapishwa: 04/05/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)