147- Ibn ´Abbaas ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Tahadharini na sehemu tatu zilizolaaniwa. Kukasemwa: “Ni zipi sehemu tatu hizo zilizolaaniwa, ee Mtume wa Allaah? Akasema: “Mmoja wenu akikidhi haja katika kivuli kinachotumiwa, katika njia au karibu na maji.”[1]
Ameipokea Ahmad.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/171-172)
- Imechapishwa: 10/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
147- Ibn ´Abbaas ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Tahadharini na sehemu tatu zilizolaaniwa. Kukasemwa: “Ni zipi sehemu tatu hizo zilizolaaniwa, ee Mtume wa Allaah? Akasema: “Mmoja wenu akikidhi haja katika kivuli kinachotumiwa, katika njia au karibu na maji.”[1]
Ameipokea Ahmad.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/171-172)
Imechapishwa: 10/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-tahadharini-na-sehemu-tatu-zilizolaaniwa/