710- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Siku ya ijumaa Malaika hukaa kwenye milango ya misikiti. Wanakuwa na madaftari yao ambayo wanawaandika watu. Wakati imamu anapotoka wanafunga madaftari yao.” Nikasema: “Ee Abu Umaamah! Si anamaanisha yule mwenye kutoka baada ya kuwa imamu amekwishatoka?” Nikasema: “Ndio, lakini hayuko katika wale wanaoandikwa katik madaftari.”[1]
Ameipokea Ahmad na at-Twabaraabiy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” na katika mlolongo wa wapokezi wake kuna Mubaarak bin Fadhwaalah.
[1] Nzuri.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/444)
- Imechapishwa: 25/01/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket