02- Wanafanya bidii kubwa kabisa, kwa siri na kwa dhahiri, ili kupindua nchi za Kiislamu. Hakuna nchi yoyote ulimwenguni iliyosalimika na wao. Kipaumbele chao cha kwanza kabisa ni Saudi Arabia. Hiki ni kitendo cha vurugu kinachoitokomeza neema, kinaleta khatari na kinapingana na mfumo wa kiutume ulio na huruma na hekima.
- Muhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 18
- Imechapishwa: 25/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)