Katika lugha ya Taurati na Injili kila mmoja ambaye ni mwema na mchamungu anaitwa “Mwana wa mungu”. Katika Matayo ya Injili imekuja:
“9Kila mwenye kufanya amani,
wanatakiwa kuitwa wana wa Mungu.
10Kila mwenye kuteswa kwa kutenda haki,
ufalme wa mbinguni ni wake.”[1]
Katika mlango huo huo mna:
“44Lakini mimi nawaambia: wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowaudhi; 45ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni.”[2]
“48Inawapasa muwe wakamilifu, kama jinsi Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.”[3]
“1Angalieni msifanye wema wenu machoni mwa watu, ili wakutazameni. Mkifanya hivyo hamtopata thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni.”[4]
[1] Matayo 05:09-10
[2] Matayo 05:44-45
[3] Matayo 05:48
[4] Matayo 06:01
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad Taqiyy-ud-Diyn al-Hilaaliy al-Maghribiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Baraahiyn al-Injiylyyah ´alaa anna ´Iysaa daakhil fiyl-´Ubuudiyyah wa la hadhdhwa lahu fiyl-Uluuhiyyah, uk. 12
- Imechapishwa: 16/10/2016
Katika lugha ya Taurati na Injili kila mmoja ambaye ni mwema na mchamungu anaitwa “Mwana wa mungu”. Katika Matayo ya Injili imekuja:
“9Kila mwenye kufanya amani,
wanatakiwa kuitwa wana wa Mungu.
10Kila mwenye kuteswa kwa kutenda haki,
ufalme wa mbinguni ni wake.”[1]
Katika mlango huo huo mna:
“44Lakini mimi nawaambia: wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowaudhi; 45ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni.”[2]
“48Inawapasa muwe wakamilifu, kama jinsi Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.”[3]
“1Angalieni msifanye wema wenu machoni mwa watu, ili wakutazameni. Mkifanya hivyo hamtopata thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni.”[4]
[1] Matayo 05:09-10
[2] Matayo 05:44-45
[3] Matayo 05:48
[4] Matayo 06:01
Muhusika: ´Allaamah Muhammad Taqiyy-ud-Diyn al-Hilaaliy al-Maghribiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Baraahiyn al-Injiylyyah ´alaa anna ´Iysaa daakhil fiyl-´Ubuudiyyah wa la hadhdhwa lahu fiyl-Uluuhiyyah, uk. 12
Imechapishwa: 16/10/2016
https://firqatunnajia.com/02-maana-ya-mwana-wa-mungu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)