Kuna ndugu katika dini amenionyesha yale yaliyoandikwa na Dr Muusa ad-Duwaysh akimraddi mwandishi wa gazeti la ”as-Salafiyyah”. Kijitabu chake kinaitwa ”Min-at-Takfiyr ilaat-Tafjiyr” na ndani yake mna matusi, kumdhulumu na kumzulia uongo al-Albaaniy (Rahimahu Allaah). Kwa ajili hiyo nikaona nina kila haki ya kumtetea al-Albaaniy (Rahimahu Allaah).
Kijana huyu aliyeghurika amemtukana Shaykh al-Albaaniy ikiwa ni pamoja vilevile na matusi yafuatayo:
1- Alikuwa Takfiyriy.
2- Alikuwa na tamaa za siasa.
3- Alikuwa akimfuata kibubusa Sayyid Qutwub.
Amemfananisha vilevile na Hasan at-Twuraabiy, Zayniy Dahlaan na makhurafi wengine.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 19-20
- Imechapishwa: 22/01/2018
Kuna ndugu katika dini amenionyesha yale yaliyoandikwa na Dr Muusa ad-Duwaysh akimraddi mwandishi wa gazeti la ”as-Salafiyyah”. Kijitabu chake kinaitwa ”Min-at-Takfiyr ilaat-Tafjiyr” na ndani yake mna matusi, kumdhulumu na kumzulia uongo al-Albaaniy (Rahimahu Allaah). Kwa ajili hiyo nikaona nina kila haki ya kumtetea al-Albaaniy (Rahimahu Allaah).
Kijana huyu aliyeghurika amemtukana Shaykh al-Albaaniy ikiwa ni pamoja vilevile na matusi yafuatayo:
1- Alikuwa Takfiyriy.
2- Alikuwa na tamaa za siasa.
3- Alikuwa akimfuata kibubusa Sayyid Qutwub.
Amemfananisha vilevile na Hasan at-Twuraabiy, Zayniy Dahlaan na makhurafi wengine.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 19-20
Imechapishwa: 22/01/2018
https://firqatunnajia.com/01-tuhuma-za-ad-duwaysh-dhidi-ya-al-albaaniy/