1079- Abu Hurayrah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule asiyeacha maneno ya uongo, kuyatendea kazi na ujinga, basi Allaah hana haja kwa yeye kuacha chakula na kinywaji chake.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa’iy na katika upokezi wa Ibn Maajah imekuja:
“…. Yule asiyeacha maneno, ujinga na kuutendea kazi.”[2]
Ni moja katika mapokezi ya an-Nasaa´iy pia.
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/624)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1079- Abu Hurayrah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule asiyeacha maneno ya uongo, kuyatendea kazi na ujinga, basi Allaah hana haja kwa yeye kuacha chakula na kinywaji chake.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa’iy na katika upokezi wa Ibn Maajah imekuja:
“…. Yule asiyeacha maneno, ujinga na kuutendea kazi.”[2]
Ni moja katika mapokezi ya an-Nasaa´iy pia.
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/624)
Imechapishwa: 24/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-yule-asiyeacha-maneno-ya-uongo/