581- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Rak´ah mbili kabla ya Fajr ni bora kuliko dunia na vyote vilivyomo ndani yake[1].”[2]
Ameipokea Muslim na at-Tirmidhiy. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Nazipenda zaidi kuliko dunia nzima.”
[1] Bi maana mapambo ya dunia.
[2] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/379)
- Imechapishwa: 08/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket