581- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Rak´ah mbili kabla ya Fajr ni bora kuliko dunia na vyote vilivyomo ndani yake[1].”[2]
Ameipokea Muslim na at-Tirmidhiy. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Nazipenda zaidi kuliko dunia nzima.”
[1] Bi maana mapambo ya dunia.
[2] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/379)
- Imechapishwa: 08/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
581- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Rak´ah mbili kabla ya Fajr ni bora kuliko dunia na vyote vilivyomo ndani yake[1].”[2]
Ameipokea Muslim na at-Tirmidhiy. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Nazipenda zaidi kuliko dunia nzima.”
[1] Bi maana mapambo ya dunia.
[2] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/379)
Imechapishwa: 08/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-rakah-mbili-kabla-ya-fajr-ni-bora/