724- Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimetamani nimwamrishe mtu mmoja awaswalishe watu kisha nizichome moto nyumba za wale wanaocha swalah ya ijumaa.”[1]
Ameipokea Muslim na al-Haakim kwa cheni ya wapokezi ilio kwa mujibu wa sharti za al-Bukhaariy na Muslim[2].
[1] Swahiyh.
[2] Ni jambo linahitaji kutazamwa vizuri, uzindushi wake uko katika ile ya asili.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/450)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswiyr-ud-Diyn al-Albaaniy
724- Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimetamani nimwamrishe mtu mmoja awaswalishe watu kisha nizichome moto nyumba za wale wanaocha swalah ya ijumaa.”[1]
Ameipokea Muslim na al-Haakim kwa cheni ya wapokezi ilio kwa mujibu wa sharti za al-Bukhaariy na Muslim[2].
[1] Swahiyh.
[2] Ni jambo linahitaji kutazamwa vizuri, uzindushi wake uko katika ile ya asili.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/450)
Imechapishwa: 26/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswiyr-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-nimetamani-nimwamrishe-mtu-mmoja-awaswalishe-watu/