Swali: Kundi la watu wako safarini na wakataka kuswali Tarawiyh mkusanyiko?

Jibu: Hakuna neno wala kikwazo. Wanaweza kufanya hivo safarini au katika hali ya ukazi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Nuur ´alaad-Darb https://binbaz.org.sa/fatwas/23814/%D9%87%D9%84-%D8%AA%D8%B5%D9%84%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B1%D8%A7%D9%88%D9%8A%D8%AD-%D8%AC%D9%85%D8%A7%D8%B9%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%81%D8%B1
  • Imechapishwa: 07/05/2020