Swali: Kuna mama mzee sana ameshindwa kufunga Ramadhaan. Kumeshapita miaka mitatu yuko katika hali hii kutokana na utuuzima na maradhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Mambo yakiwa hivo ulivyoeleza basi ni wajibu kwake kulisha kwa kila siku moja aliyoacha kufunga masikini. Anatakiwa kulisha nusu pishi katika mchele, tende, mahindi au vyengine ambavyo anawalisha familia yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/161)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Kuna mama mzee sana ameshindwa kufunga Ramadhaan. Kumeshapita miaka mitatu yuko katika hali hii kutokana na utuuzima na maradhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Mambo yakiwa hivo ulivyoeleza basi ni wajibu kwake kulisha kwa kila siku moja aliyoacha kufunga masikini. Anatakiwa kulisha nusu pishi katika mchele, tende, mahindi au vyengine ambavyo anawalisha familia yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/161)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/mzee-asiyeweza-kufunga-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)