Swali: Mmoja katika Waislamu akimpa amani kafiri pasina idhini ya mtawala…
Jibu: Hakuna neno hata kama mtawala hakutoa idhini. Mtawala anakubali hili.
Swali: Je, mtawala anaweza kumuua kafiri huyu akiona kuna maslahi?
Jibu: Hapana. Haijuzu kwa yeyote kumuua maadamu hakujaonekana kitu kinachowajibisha kuuawa. Maadamu hakujapitika kwake kinachowajibisha kuuawa haijuzu kumfanyia uadui. Akifanya kitu kinachowajibisha kuuawa, anayetakiwa kumuua ni mtawala na si mtu ni mtu tu akamuua. Dini sio vurugu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (52) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-06-05.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mmoja katika Waislamu akimpa amani kafiri pasina idhini ya mtawala…
Jibu: Hakuna neno hata kama mtawala hakutoa idhini. Mtawala anakubali hili.
Swali: Je, mtawala anaweza kumuua kafiri huyu akiona kuna maslahi?
Jibu: Hapana. Haijuzu kwa yeyote kumuua maadamu hakujaonekana kitu kinachowajibisha kuuawa. Maadamu hakujapitika kwake kinachowajibisha kuuawa haijuzu kumfanyia uadui. Akifanya kitu kinachowajibisha kuuawa, anayetakiwa kumuua ni mtawala na si mtu ni mtu tu akamuua. Dini sio vurugu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (52) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-06-05.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/muislamu-kumpa-amani-kafiri-kwa-kumwingiza-katika-nchi-ya-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)