Swali: Mke akimkosea mama mkwe. Je, ni wajibu kumtaliki kwa sababu hiyo kwa njia ya uwajibu?
Jibu: Hapana. Si wajibu kwake kufanya hivo. Lakini awatenganishe kati yao. Amweke kila mmoja katika nyumba yake. Asiwaweke sehemu moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2018
Swali: Mke akimkosea mama mkwe. Je, ni wajibu kumtaliki kwa sababu hiyo kwa njia ya uwajibu?
Jibu: Hapana. Si wajibu kwake kufanya hivo. Lakini awatenganishe kati yao. Amweke kila mmoja katika nyumba yake. Asiwaweke sehemu moja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 18/09/2018
https://firqatunnajia.com/kumtaliki-mke-kwa-sababu-ya-kumkosea-mama-mkwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)