Swali: Umetaja katika Khutbah ya kwamba kupatwa kwa jua ni jambo limezidi siku hizi kwa sababu ya kuzidi kwa maasi. Je, maasi yanaathiri kwa kutikisika kwa mambo?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na shaka ya kwamba maasi yanaathiri. Lakini taathira haiwi katika maasi kwa dhati yake. Bali maasi ni sababu. Ambaye anazibadilisha nyota ni Allaah (´Azza wa Jall). Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ
“Ufisadi umeenea katika nchi kavu na baharini kwa sababu ya yale iliyochuma mikono ya watu.” (40:41)
Kwa ajili hii ndio maana imekuja katika Hadiyth inayozungumzia kupatwa kwa jua:
“… ili aweze kuona ni nani atakayetubia upya.”
Allaah anakadiria hivo ili aweze kuona ni nani katika watu ambaye atatubia upya kwa Allaah (´Azza wa Jall). Hayo yakafahamisha kwamba sababu ya kupatwa kwa jua ni maasi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (38) http://binothaimeen.net/content/859
- Imechapishwa: 27/06/2018
Swali: Umetaja katika Khutbah ya kwamba kupatwa kwa jua ni jambo limezidi siku hizi kwa sababu ya kuzidi kwa maasi. Je, maasi yanaathiri kwa kutikisika kwa mambo?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na shaka ya kwamba maasi yanaathiri. Lakini taathira haiwi katika maasi kwa dhati yake. Bali maasi ni sababu. Ambaye anazibadilisha nyota ni Allaah (´Azza wa Jall). Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ
“Ufisadi umeenea katika nchi kavu na baharini kwa sababu ya yale iliyochuma mikono ya watu.” (40:41)
Kwa ajili hii ndio maana imekuja katika Hadiyth inayozungumzia kupatwa kwa jua:
“… ili aweze kuona ni nani atakayetubia upya.”
Allaah anakadiria hivo ili aweze kuona ni nani katika watu ambaye atatubia upya kwa Allaah (´Azza wa Jall). Hayo yakafahamisha kwamba sababu ya kupatwa kwa jua ni maasi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (38) http://binothaimeen.net/content/859
Imechapishwa: 27/06/2018
https://firqatunnajia.com/jua-linapatwa-kwa-wingi-kwa-sababu-ya-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)