Swali: Imamu akisahau kusoma al-Faatihah katika Rak´ah ya nne kisha akakumbuka kabla ya Tashahhud ya mwisho ambapo akasimama kwa ajili aweze kusoma al-Faatihah. Maamuma nyuma yake wakasema “Subhaan Allaah” lakini hata hivyo hakurudi na maimamu hawakumfuata kwa kudhania kwao kwamba ni Rak´ah ya tano. Baada ya hapo imamu akawabainishia waswaliji hali halisi. Je, wanatakiwa kuiswali Rak´ah hiyo?
Jibu: Udhahiri ni kwamba wanatakiwa kuiswali. Lakini [imamu] alikuwa anatakiwa awaashirie kwa mkono wake au awawekee wazi kitu kitachowafahamisha hilo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 07/05/2019
Swali: Imamu akisahau kusoma al-Faatihah katika Rak´ah ya nne kisha akakumbuka kabla ya Tashahhud ya mwisho ambapo akasimama kwa ajili aweze kusoma al-Faatihah. Maamuma nyuma yake wakasema “Subhaan Allaah” lakini hata hivyo hakurudi na maimamu hawakumfuata kwa kudhania kwao kwamba ni Rak´ah ya tano. Baada ya hapo imamu akawabainishia waswaliji hali halisi. Je, wanatakiwa kuiswali Rak´ah hiyo?
Jibu: Udhahiri ni kwamba wanatakiwa kuiswali. Lakini [imamu] alikuwa anatakiwa awaashirie kwa mkono wake au awawekee wazi kitu kitachowafahamisha hilo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 07/05/2019
https://firqatunnajia.com/waswaliji-hawakumfuata-imamu-katika-rakah-ya-tano-aliyosahau-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket