Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia baadhi ya vidonge maalumu vya kuzuia mimba kwa muda?
Jibu: Ikiwa kuna haja ya kufanya hivyo na haipelekei madhara ya kiafya na jambo hilo linafanyika kwa ridhaa ya wanandoa wote wawili, basi hakuna ubaya. Wakati wa dharurah, hakuna tatizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/195)
- Imechapishwa: 20/02/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia baadhi ya vidonge maalumu vya kuzuia mimba kwa muda?
Jibu: Ikiwa kuna haja ya kufanya hivyo na haipelekei madhara ya kiafya na jambo hilo linafanyika kwa ridhaa ya wanandoa wote wawili, basi hakuna ubaya. Wakati wa dharurah, hakuna tatizo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/195)
Imechapishwa: 20/02/2026
https://firqatunnajia.com/vidonge-vya-kuzuia-mimba-kwa-muda/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket