Swali: Ni ipi hukumu ya baadhi ya wanawake ambao hawaswali nyuma ya imamu kama inavyopasa, bali wanarukuu na kusujudu wanavyotaka wao?
Jibu: Hili halijuzu. Swalah yao huwa batili. Anayeswali nyuma ya imamu ni lazima amfuate imamu wala asimtangulie. Hafai kufanya mchezo, ni mamoja awe mwanamume au mwanamke. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika imamu amewekwa ili afuatwe. Msitofautiane naye. Kwa hiyo akisema:
الله أكبر
”Allaah ni Mkubwa.”
nanyi semeni:
الله أكبر
”Allaah ni Mkubwa.”
Wala msilete Takbiyr mpaka yeye kwanza alete Takbiyr. Akienda katika Rukuu´, nendeni katika Rukuu´… ”[1]
Kwa hiyo ni lazima kumfuata imamu na haijuzu kufanya mchezo.
[1] Sunan Abiy Daawuud (857) kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/144)
- Imechapishwa: 05/03/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya baadhi ya wanawake ambao hawaswali nyuma ya imamu kama inavyopasa, bali wanarukuu na kusujudu wanavyotaka wao?
Jibu: Hili halijuzu. Swalah yao huwa batili. Anayeswali nyuma ya imamu ni lazima amfuate imamu wala asimtangulie. Hafai kufanya mchezo, ni mamoja awe mwanamume au mwanamke. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika imamu amewekwa ili afuatwe. Msitofautiane naye. Kwa hiyo akisema:
الله أكبر
”Allaah ni Mkubwa.”
nanyi semeni:
الله أكبر
”Allaah ni Mkubwa.”
Wala msilete Takbiyr mpaka yeye kwanza alete Takbiyr. Akienda katika Rukuu´, nendeni katika Rukuu´… ”[1]
Kwa hiyo ni lazima kumfuata imamu na haijuzu kufanya mchezo.
[1] Sunan Abiy Daawuud (857) kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/144)
Imechapishwa: 05/03/2026
https://firqatunnajia.com/ulazima-wa-kumfata-imamu-katika-swalah/