Swali: Ni ipi hukumu ya kuwachinjia maiti Udhhiyah?
Jibu: Sioni kama kuna ubaya akiwachinjia. Na hapana vibaya akichinja kwa ajili ya nafsi yake, familia yake na maiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo wawili; mmoja kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wa familia yake na mwingine kwa ajili ya wale wapwekeshaji katika ummah wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa hivyo hapana vibaya mtu akichinja Udhhiyah kwa ajili yake, familia yake katika wakeze, watoto wake na wazazi wake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18858/ما-حكم-الاضحية-عن-الاموات
- Imechapishwa: 06/06/2024
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwachinjia maiti Udhhiyah?
Jibu: Sioni kama kuna ubaya akiwachinjia. Na hapana vibaya akichinja kwa ajili ya nafsi yake, familia yake na maiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo wawili; mmoja kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wa familia yake na mwingine kwa ajili ya wale wapwekeshaji katika ummah wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa hivyo hapana vibaya mtu akichinja Udhhiyah kwa ajili yake, familia yake katika wakeze, watoto wake na wazazi wake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18858/ما-حكم-الاضحية-عن-الاموات
Imechapishwa: 06/06/2024
https://firqatunnajia.com/udhhiyah-kwa-ajili-ya-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)