Swali: Mwenye kusema: “Wewe umetalikika mara tatu”. Je, imepita?
Jibu: Hapa wametofautiana wanachuoni. Miongoni mwao kuko wanaosema kuwa imepita mara tatu kwa lafdhi moja, ingawa kufanya hivyo ni Haramu. Inapita pamoja na mtu kupata madhambi. Kama jinsi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyoipitisha Talaka katika hedhi pamoja na madhambi. Talaka inapita pamoja na mtu kupata madhambi. Inakuwa ni Talaka ya Haramu lakini inapita. Haya ndio madhehebu ya wanachuoni wengi. Shaykh-ul-Islaam bin Taymiyyah, Ibn al-Qayyim na kundi lingine la wanachuoni wanaona kuwa Talaka tatu kwa lafdhi moja inakuwa ni Talaka moja. Lakini rai hii haina ni nguvu. Bila kujali hata kama kuna wanachuoni waheshimiwa waliofutu rai hii, hata hivyo ni rai isiyokuwa na nguvu. Kwa kuwa aliokuwa akiihukumu ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhu) katika uongozi wake ni kuwa Talaka tatu zinapita kwa lafdhi moja. Naye ni Khaliyfah muongofu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10070
- Imechapishwa: 07/02/2018
Swali: Mwenye kusema: “Wewe umetalikika mara tatu”. Je, imepita?
Jibu: Hapa wametofautiana wanachuoni. Miongoni mwao kuko wanaosema kuwa imepita mara tatu kwa lafdhi moja, ingawa kufanya hivyo ni Haramu. Inapita pamoja na mtu kupata madhambi. Kama jinsi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyoipitisha Talaka katika hedhi pamoja na madhambi. Talaka inapita pamoja na mtu kupata madhambi. Inakuwa ni Talaka ya Haramu lakini inapita. Haya ndio madhehebu ya wanachuoni wengi. Shaykh-ul-Islaam bin Taymiyyah, Ibn al-Qayyim na kundi lingine la wanachuoni wanaona kuwa Talaka tatu kwa lafdhi moja inakuwa ni Talaka moja. Lakini rai hii haina ni nguvu. Bila kujali hata kama kuna wanachuoni waheshimiwa waliofutu rai hii, hata hivyo ni rai isiyokuwa na nguvu. Kwa kuwa aliokuwa akiihukumu ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhu) katika uongozi wake ni kuwa Talaka tatu zinapita kwa lafdhi moja. Naye ni Khaliyfah muongofu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10070
Imechapishwa: 07/02/2018
https://firqatunnajia.com/tofauti-iliopo-kwa-wanachuoni-kuhusu-talaka-tatu-kwa-wakati-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)