Swali: Ikiwa ni Talaka rejea, je ni lazima kwa mke kumuomba idhini mume wake wakati anapotaka kutoka katika haja zake au na familia yake? Na kama hakufanya hivyo, ni ipi hukumu?
Jibu: Ndio. Maadamu yuko ndani ya eda na ni Talaka rejea, bado ni mume wake. Asitoke isipokuwa kwa idhini yake, kwa kuwa bado ni mume wake. Hivyo, asitoke isipokuwa mpaka kwa idhini yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10029
- Imechapishwa: 14/02/2018
Swali: Ikiwa ni Talaka rejea, je ni lazima kwa mke kumuomba idhini mume wake wakati anapotaka kutoka katika haja zake au na familia yake? Na kama hakufanya hivyo, ni ipi hukumu?
Jibu: Ndio. Maadamu yuko ndani ya eda na ni Talaka rejea, bado ni mume wake. Asitoke isipokuwa kwa idhini yake, kwa kuwa bado ni mume wake. Hivyo, asitoke isipokuwa mpaka kwa idhini yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10029
Imechapishwa: 14/02/2018
https://firqatunnajia.com/talaka-rejea-ndani-ya-eda-ni-wajibu-kuomba-idhini-kabla-ya-kutoka-nje/