Swali 148: Je, waislamu waswali ndani ya msikiti uliyojengwa kwa pesa ya haramu?
Jibu: Ndio, dhambi zake zinamwendea aliyeujenga.
Swali 149: Vipi kuhusu msikiti uliojengwa kwa haramu?
Jibu: Unaswaliwa ndani yake. Dhambi ni juu ya aliyeujenga. Uimarishwe kwa utiifu wa Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 70
- Imechapishwa: 27/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 148: Je, waislamu waswali ndani ya msikiti uliyojengwa kwa pesa ya haramu?
Jibu: Ndio, dhambi zake zinamwendea aliyeujenga.
Swali 149: Vipi kuhusu msikiti uliojengwa kwa haramu?
Jibu: Unaswaliwa ndani yake. Dhambi ni juu ya aliyeujenga. Uimarishwe kwa utiifu wa Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 70
Imechapishwa: 27/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/swalah-ndani-ya-msikiti-uliyojengwa-kwa-pesa-za-haramu/