Swali: Bora kwa mwanafunzi anayeanza kujifunza elimu ahifadhi Qur-aan au aisome peke yake?
Jibu: Bora kwa mwanafunzi ni yeye kuhifadhi Qur-aan. Qur-aan ndio msingi wa vitabu vyote na ndio kitabu chenye manufaa zaidi. Anatakiwa kuanza kuhifadhi Qur-aan. Lakini akiweza kuhifadhi Qur-aan na sambamba na hilo akahifadhi vitabu vya Hadiyth na kuketi katika darsa za wanazuoni, basi ni kheri tupu. Lakini kama hawezi kuhifadhi Qur-aan na wakati huohuo kwenda katika darsa za wanazuoni, basi tunamwambia aanze kwa Qur-aan. Kwa sababu Qur-aan ndio msingi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (20 B) Muda: 03:02
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Bora kwa mwanafunzi anayeanza kujifunza elimu ahifadhi Qur-aan au aisome peke yake?
Jibu: Bora kwa mwanafunzi ni yeye kuhifadhi Qur-aan. Qur-aan ndio msingi wa vitabu vyote na ndio kitabu chenye manufaa zaidi. Anatakiwa kuanza kuhifadhi Qur-aan. Lakini akiweza kuhifadhi Qur-aan na sambamba na hilo akahifadhi vitabu vya Hadiyth na kuketi katika darsa za wanazuoni, basi ni kheri tupu. Lakini kama hawezi kuhifadhi Qur-aan na wakati huohuo kwenda katika darsa za wanazuoni, basi tunamwambia aanze kwa Qur-aan. Kwa sababu Qur-aan ndio msingi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (20 B) Muda: 03:02
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/qur-aan-mwanzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)