Swali: Ni vipi mtu hutubia kwa ajili ya usengenyaji?
Jibu: Akiweza kumuomba msamaha, afanye hivo. Hii ni haki ya kiumbe na haianguki isipokuwa kwa yule msengenywaji kusamehe. Ama ikiwa hawezi kumtaka radhi amuombee du´aa yule msengenywaji, amuombee msamaha na kumsifu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 08/06/2020
Swali: Ni vipi mtu hutubia kwa ajili ya usengenyaji?
Jibu: Akiweza kumuomba msamaha, afanye hivo. Hii ni haki ya kiumbe na haianguki isipokuwa kwa yule msengenywaji kusamehe. Ama ikiwa hawezi kumtaka radhi amuombee du´aa yule msengenywaji, amuombee msamaha na kumsifu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
Imechapishwa: 08/06/2020
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-mtu-kutubia-kwa-ajili-ya-kusengenya/