Swali: Ni ipi hukumu mwanamke akitumia kitu kinachokatisha damu katika siku za nifasi au hedhi?
Jibu: Mwanamke akitumia vidonge au sindano vinavyokatisha damu, kisha damu ikakatika kwa sababu hiyo na akaoga, basi atafanya kama wanavyofanya wanawake walio twahara. Swalah yake ni sahihi na swawm yake ni sahihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/213)
- Imechapishwa: 24/02/2026
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke akitumia kitu kinachokatisha damu katika siku za nifasi au hedhi?
Jibu: Mwanamke akitumia vidonge au sindano vinavyokatisha damu, kisha damu ikakatika kwa sababu hiyo na akaoga, basi atafanya kama wanavyofanya wanawake walio twahara. Swalah yake ni sahihi na swawm yake ni sahihi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/213)
Imechapishwa: 24/02/2026
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-mwanamke-akitumia-kitu-kinachokatisha-damu-katika-siku-za-nifasi-au-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket