Swali: Inajuzu kwa msimamizi wa mwanamke kumshurutishia yule anayemchumbia msichana wake asimuoe juu yake mwanamke mwingine na hilo likaandikwa kwenye mkataba wa ndoa?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Haifai kwake kuzuia kitu alichohalalisha Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Inajuzu kwa msimamizi wa mwanamke kumshurutishia yule anayemchumbia msichana wake asimuoe juu yake mwanamke mwingine na hilo likaandikwa kwenye mkataba wa ndoa?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Haifai kwake kuzuia kitu alichohalalisha Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/msimamizi-anashurutisha-kutoongeza-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)