Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyeota akamwaga manii mchana wa swawm? Je, hilo linaathiri usahihi wa swawm yake?
Jibu: Mwenye kupata ndoto ya janaba mchana wa swawm, ni wajibu kwake kuoga josho la janaba. Ama kuhusu swawm yake ni sahihi, kwa sababu ndoto ya janaba hutokea bila kutaka kwake na bila kukusudia; yamemtokea bila kutaka kwake. Kwa hivyo hayaathiri swawm yake. Swawm yake ni sahihi na haina kasoro. Lakini ni wajibu kwa muislamu anapopata ndoto ya janaba akiwa amefunga na akamwaga manii, aoge josho la janaba.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/403-404)
- Imechapishwa: 18/02/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyeota akamwaga manii mchana wa swawm? Je, hilo linaathiri usahihi wa swawm yake?
Jibu: Mwenye kupata ndoto ya janaba mchana wa swawm, ni wajibu kwake kuoga josho la janaba. Ama kuhusu swawm yake ni sahihi, kwa sababu ndoto ya janaba hutokea bila kutaka kwake na bila kukusudia; yamemtokea bila kutaka kwake. Kwa hivyo hayaathiri swawm yake. Swawm yake ni sahihi na haina kasoro. Lakini ni wajibu kwa muislamu anapopata ndoto ya janaba akiwa amefunga na akamwaga manii, aoge josho la janaba.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/403-404)
Imechapishwa: 18/02/2026
https://firqatunnajia.com/mfungaji-aliyepata-ndoto-ya-janaba-mchana/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket